Case yako imekaa kama yangu ila mie tayari nilishapata hedhi. Mimi pia nilipata hedhi tarehee 11.10 mzunguko wangu ni siku 28 nilitarajia nipate hedhi tena tarehe 7.11, nkashangaa imepita tarehe 8,9 nimekuja kupataha hedhi tarehe 10 mimi pia nilikuwa matiti yanauma na ute japokuwa hakuwa mwingi nilipima pia mimba haikuwemo. sikujua hali hiyo ilisababishwa na nini maana siyo kawaida kupita siku 28.
Kwa kawaida wanasema kipimo cha ujauzito kinaanza kuonesha baada ya week mbili. Kama bado hujapata hedhi unaweza pima tena inawezekana uko mjamzito.