bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Nawaomba msaada wakuu kuhusu chuo kinachotoa kozi ya ushauri nasaha ile itolewayo kwa miezi sita ili my wife ambaye kamaliza diploma ya nursing aweze kuisoma. Naomba ikiwezekana chuo kiwe located temeke. Lakini hata kama kitakuwa karibu na temeke sawa.