loveness love
Senior Member
- Jan 13, 2011
- 148
- 8
nipo fresh na mwanamke alikuwa sipo kiwembe so kwenye suala la ngoma hapo hakuna shaka mkuu
aya aya aya !! afrodenzi afrodenzi.
ningekuwa na pesa ningekupa penzi
na nashukuru kwa mistari yenye hisia za mapenzi
siwezi kukutamani kimapenzi
lakini utamu haukosi kwenye lako penzi
afrodenzi dada yangu nakupenda
japokuwa mimi sio mpemba
nitakupa mambo motomoto kama marashi ya pemba
hii stori ya leo ni kweli imetpokea na wala sio pumba,
na nikija kutana na wewe tutakuwa ndani ya chumba
na yatakayotokea yanabakia humuhumo ndani ya nyumba
afrodenzi mtoto mzuri
leo umenifariji hadi najisikia vizuri
kuna mchawi anajiita TANMO alinifanya nisijisikie vizuri
mimi sio mtaalamu wa mashauri
aaa nimeshindwa kuendelea bana to a:A S kiss:frodenzi
basi mi mdogo wako bila wasi 😛opcorn:ivuga una visa,mimi jinsia yangu ni ya kike
afro kumbe upo kwenye ndoa? ahahaaha hope jamaa hasomi hizi postumeoona hizo beautiful Red Roses..???
tangu tuoane we hujawahi nitumia..
mmmmhhh ndo maana nataka zile karatasi
hahahah lol
Vipi mambo lakini kipenzi changu??/
Subili miezi 3 kisha ujiridhishe kama afya yako inaruhusu au lah
akikuua ndo utapata akili kuwa uzinzi ni mbaya...pusi we! akuue tu ili ukienda kuzimu huko ukapate akili nzuri pamoja na shetwain...
WE NAWE, NDO UPO BALEHE YA KWANZA NINI? BADALA YA KUJICHEKI KWANZA KAMA HAJAKUACHIA GONO UNAANZA KUOGOPA SMS YA KIJINGA FROM A DESPERATE *****. :shock:
aaaaaaaaaaaa kwa hiyo mimi mchawi siyo?
Haya Bana..
afro kumbe upo kwenye ndoa? ahahaaha hope jamaa hasomi hizi post
mmmhh vipi mambo mkuu
jamaa ni The Finest dear.
mmhh usijali anachakachua nje
ndo maana kama ukiona thread nyingi utaona namwomba zile paper hahahahah lol
nway vipi mawazo yanaendeleaje ????
duuuhh maana nimegundua uko online 24/7 hahahah lol
aaaaaaaaaaaa kwa hiyo mimi mchawi siyo?
Haya Bana..
ahahhah mi niko poa !! nipo mda mwingi tu humu nishakuwa addicted na JF ikifungwa lazima presha ipande....kkwa hiyo jamaa ni the finest?hahahha afrodenz
ooohh dear
JF ina ubaya na uzuri wake dear..
anasaidia kupunguza mawazo..
lakini addiction yake ni borea
marijuanahahahah lol
lakini ndo hivyo dear
kila siku binadanu tunaenda
na tunataka kukaa mahali
ambapo ni comfatable..
labda tu pale inapotokea
huna choice haah lol
yap TF ndo mzee mwenye nyumba lakini
nyumba karibu itaanguka
sababu alijenga na matope
halafu mvua imezidi hahahah lol