Kimbley JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 3,050 Reaction score 2,104 May 11, 2015 #21 kichunafk said: nadhani itakuwa riwa hiyo Click to expand... ahsante kwa masahihisho mkuu!
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,211 Reaction score 1,059 May 11, 2015 #22 kichunafk said: nadhani itakuwa riwa hiyo Click to expand... Pia kuna daktari humu anaitwa Riwa. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kichunafk JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 992 Reaction score 479 May 11, 2015 #23 Sangomwile said: Pia kuna daktari humu anaitwa Riwa. Click to expand... Hahahahahhaha, aisee, kaazi kweli kweli Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Sangomwile said: Pia kuna daktari humu anaitwa Riwa. Click to expand... Hahahahahhaha, aisee, kaazi kweli kweli
Senior Boss JF-Expert Member Joined Aug 19, 2011 Posts 3,405 Reaction score 3,689 May 11, 2015 #24 Smart911 said: Jaribu kubadilisha na godoro unalolalia. Kama ni la miaka mingi nunua lingine. Click to expand... Hili nalo neno. Bila kusahau kuoga 2 times daily wit medicated soap.
Smart911 said: Jaribu kubadilisha na godoro unalolalia. Kama ni la miaka mingi nunua lingine. Click to expand... Hili nalo neno. Bila kusahau kuoga 2 times daily wit medicated soap.
Rumye Member Joined Jul 31, 2014 Posts 93 Reaction score 27 May 11, 2015 #25 iron woman said: ni vipele ambavyo siyo chunusi na hata ukiviminya havina kitu ndani ila kuna kipind vinatutumka zaid vilianza vichache sana hqpo kifuani mwaka ukapita ila vinazid kuongezeka na vimepanda hapo shingoni sasa vinaanza kutokea usoni. Click to expand... Jaribu kupima damu mayb mchafuko wa damu,au aleji ya vyakula,ukishindwa kabisa nenda kwa maspecialist wa ngozi haraka kabla havijatapakaa
iron woman said: ni vipele ambavyo siyo chunusi na hata ukiviminya havina kitu ndani ila kuna kipind vinatutumka zaid vilianza vichache sana hqpo kifuani mwaka ukapita ila vinazid kuongezeka na vimepanda hapo shingoni sasa vinaanza kutokea usoni. Click to expand... Jaribu kupima damu mayb mchafuko wa damu,au aleji ya vyakula,ukishindwa kabisa nenda kwa maspecialist wa ngozi haraka kabla havijatapakaa