Proffesion zote ni nzuri,ila ingekuwa vyema zaidi kama utasoma chuo cha serikali kama utapata nafasi,itakuwa rahisi sana kwako kuweza kuingia serikalini.pia tafuta ndugu au rafiki zako wanaofanya kazi hizo uwaulize na upime....fanya kile unachopenda zaidi kwa maana utakifanya kwa ufanisi zaidi,na hiyo itakuletea uzoefu haraka zaidi na utalipwa vizuri kama utaimudu kazi yako vyema na kuipenda .....kila la kheri