Nisaidieni jamani!!!!!!!!

HONGORI

Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
8
Reaction score
1
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora kabisa.Msaada toka kwenu wakubwa!!!!
 
Pole ila hao ng'ombe ni aina gani? Watu wangekushauri kiasi cha maziwa unayopata kutokana na aina ya ng'ombe. Hiyo ya kuzaa madume tena mmm ngoja wajuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…