Mzee Mambo
Member
- Jun 21, 2021
- 29
- 18
Habari WanaJF.
MIMI ni kijana wa kitanzania, umri miaka 25.
Makazi: UBUNGO Dar es salaam
Elimu: Shahada ya usimamizi wa majengo na nyenzo. (2021).....Elimu sio kipaumbele changu hapa.
Naombeni mwenye connection ya kibarua/kazi anisaidie, ili niweze kukimu majukumu ya familia yangu.
Nipo tayari Kufanya kazi yoyote ya halali isipokuwa ya ndani pekee.
Natanguliza shukrani kwenu.
Asalam.
MIMI ni kijana wa kitanzania, umri miaka 25.
Makazi: UBUNGO Dar es salaam
Elimu: Shahada ya usimamizi wa majengo na nyenzo. (2021).....Elimu sio kipaumbele changu hapa.
Naombeni mwenye connection ya kibarua/kazi anisaidie, ili niweze kukimu majukumu ya familia yangu.
Nipo tayari Kufanya kazi yoyote ya halali isipokuwa ya ndani pekee.
Natanguliza shukrani kwenu.
Asalam.