vp hakuna mjasiriamali mwenye uzalendo wa mawazo kwangu
Fursa zipo nying cha muhimu kujiamini na kujikubali m.5 ni pesa nyingi sana ambazo ukitulia na kufanya yako kimakin unaweza kufanikiwa kibiashara.angalia fursa ya hapo ulipo then utapata jibu biashara gan ufanye. Angalia kitu gani kinakosekana au kinapatikana kwa tabu ambacho watu wanakitumia sana. Ni hayo tu.
vp hakuna mjasiriamali mwenye uzalendo wa mawazo kwangu
una ujuzi,utaalam,elimu gani? jibu hilo swali kwanza.
Nina elimu ya kidato cha nne,certificate ya driving,certificate ya tour guide,nina shamba Kauzeni Morogoro kama hekari 4.Kwa sasa nafanya kazi ya driving Kahama Shinyanga.Vilevile nina ujuzi wa ushonaji wa nguo aina yoyote.
Wakuu naomba ushauri naitaji kuanza biashara ya aina yoyote inayoweza kunitoa kwa mtaji wa sh.milioni tano makazi yakiwa Morogoro.Nasubiri mawazo yenu niweze kuyafanyia kazi,nitafurahi yakiwa na uchambuzi wa kina.
daah njoo baa nikupe ushauri
Wakuu naomba ushauri naitaji
kuanza biashara ya aina yoyote inayoweza kunitoa kwa mtaji wa sh.milioni
tano makazi yakiwa Morogoro.Nasubiri mawazo yenu niweze kuyafanyia
kazi,nitafurahi yakiwa na uchambuzi wa kina.
Nina elimu ya kidato cha nne,certificate ya driving,certificate ya tour guide,nina shamba Kauzeni Morogoro kama hekari 4.Kwa sasa nafanya kazi ya driving Kahama Shinyanga.Vilevile nina ujuzi wa ushonaji wa nguo aina yoyote.