Nisaidieni kuhusu imani yangu.....

mmm dats realy realy true !!!!
 
waona jinsi gani hunijali na kunidanganya tuu hua sipendi kurudia nilichonacho kuonyesha na kujitambulisha how u care about me hii ndio fursa ningekuona tangu asubuhi nilipotuma thread ya kwanza headline nashkuru nimerudi lakini kwa kimya cha kimya takriban 5days hukutaka kuniuliza au hata pm wewe sikukuta walionipokea na kunipenda na kunijali ndo niliowakuta kama utataka kujua nini kilinikuta utanitafuta kwa post niliokwambia,,,,i'm not happy yet...and please do not reapeat the question u ask..
Duh.... Pole nimpendaye..... nini kimekutokea? Aidha, tumshukuru Allah.....!
 
mh huwa napata wasiwasi kama konakali labda upo lakini umejificha wapi mbona yote tunayokutana nayo yanakatisha tamaa anyway ngoja niishie hapa
 
sijisifii,lakini mimi ni mmoja wa waaminifu,nikiwa na wangu ni huyohuyo,hainijii hata siku moja kutafuta wa pembeni.wasichana wengine utawasikia kabisa,huyu ni special wa kuniwekea vocha ya simu,na huyu ni special wa kumchuna{design hizo ni watu wazima} ndio wanachunwa na huyu wa kutoka nae.hujiuliza hao wote wakija kugonganishwa jee?.lakini kila nikisoma story za wanaume wa jf huwa najiuliza kweli hakuna uaminifu.hasa nyinyi wanaume,kuwa na wanawake wengi ni kama sifa.
 
Tunu ya yule aishie maisha ya usafi (chastity) ni kumpata mke au mume mwema /mwaminifu.
 
ohh.....! very sorry unconditionally... i didn't pass through that thread dear...... then let me go there dear......

mh huwa napata wasiwasi kama konakali labda upo lakini umejificha wapi mbona yote tunayokutana nayo yanakatisha tamaa anyway ngoja niishie hapa
Ndio hapo mimi nashangaa mtu anapotaka uamini tofauti na unayoyaona..... Mungu tukimwamini tunamwona kila siku kwa matendo na miujiza yake.... Lakini huyu "UAMINIFU" haonekani kabisa... badala yake tunayaona kinyume chake kila wakati... Mkikaa kijiweni (kikundi cha watu) ushabiki utakaoendelea ni kinyume kabisa na uaminifu.....
 
Bado tupo waaminifu msikate tamaa ina tegemea mtu na mtu! Ila sikuhizi kiasi fulani watu wamepoteza sana uaminifu na hawaaminiki kabisaa! Pia zamani haya yalikuwepo ila mabibi na mababu zetu waliyaficha ambapo yangetokea kwani ilikuwa ikileta shame kwenye familia husika! kwa sasa yanaoonekana kushamiri coz of utandawazi na vijana wa kileo hawaoni haya wao ni poa poa tu
 
Mmmh huenda hili linaukweli jamani
Kama Eva alianza na Nyoka na kwenda kumuonjesha Adam
Haya bana, Presha inapanda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…