wyclefmore
Member
- May 16, 2011
- 33
- 3
@mr rocky
Samahani mwanajamii mimi siyo mpangaji ila mpangishaji.naomba consultation.
Asante sana Mr. Rocky kwa shule nzuri ya mikataba ya kupanga nyumba.
wana jf naombeni eilimu juu ya haya
1.kuna madhara gani nikipangisha nyumba bila mkataba.
2.je mkataba wa kupangisha nyumba nautoa wapi-je naubuni tu mwenyewe.na kama nikiubuni tu mwenyewe utakuwa na nguvu za kisheria?.
3.je nikienda kwa wakili anaweza kuniandaloa mkataba-gharama zake vipi mimi mwananchi wa kawaida ntazimudu.
Nambeni ufafanuzi juu ya haya.