S Sumun New Member Joined Dec 18, 2014 Posts 4 Reaction score 1 Apr 23, 2015 #1 Wadau, Nataka jua juu ya bei ya Mahindi Mombasa kwa kg 1 na ulipaji wake ukoje. Nina Tan 32 nataka pakia.
Wadau, Nataka jua juu ya bei ya Mahindi Mombasa kwa kg 1 na ulipaji wake ukoje. Nina Tan 32 nataka pakia.
aye JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 2,102 Reaction score 709 Apr 24, 2015 #2 naonaga wafanya biashara wengi wa mahindi mombasa huja himo kununua mzigo pale ungepata mtu pale hime angekusaidia kujua soko linavyoend aMombasa
naonaga wafanya biashara wengi wa mahindi mombasa huja himo kununua mzigo pale ungepata mtu pale hime angekusaidia kujua soko linavyoend aMombasa
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Apr 25, 2015 #3 Sumun said: Wadau, Nataka jua juu ya bei ya Mahindi Mombasa kwa kg 1 na ulipaji wake ukoje. Nina Tan 32 nataka pakia. Click to expand... Nikihitaji gunia 100 kila wiki utaniuziaje? Uko wapi pia? Kama vipi nicheki PM
Sumun said: Wadau, Nataka jua juu ya bei ya Mahindi Mombasa kwa kg 1 na ulipaji wake ukoje. Nina Tan 32 nataka pakia. Click to expand... Nikihitaji gunia 100 kila wiki utaniuziaje? Uko wapi pia? Kama vipi nicheki PM