Nisaidieni kumpa jina

dini gani nyie? Taja na kabila
kama ni haya people,nina azina ya majina..wasukuma na waswahili wanaita majina kama RIZIKI,HASARA,HASIRA,WIVU,GAMBOSHI,NTUJI,ASANTE,MAKOYE,NG'WANAMONIKA,NTEMINYANDA n.k
funguka dini na kabila..kama hamfuati ishu za dini wala kabila wakike muite 'SHALONI' wakiume HOPE.
 
mwite "shilole" kama ni wa kike!
 
Mkuu hongera sana kwa kupata mke ana kutegemea mtoto hivikaribuni.
Kama hutajali, naomba nipendekeze majina haya hapa.,

Akiwa wa kiume: Aitwe Mbimbinho
Akiwa wa Kike: Aitwe Mbimbinha

Nitafurahi sana kama mtapokea ushauri wangu...)
hayo majina yana maana gani?
 
Mimi ni mngoni mkristo na mke wangu ni mwislamu wa Tanga
 
Kwa tabia zetu za asili, huwa tunawaita/tunawapa watoto wetu wanapozaliwa majina ya babu/bibi zao (yaani wazazi wetu). Ndo maana majina ya ukoo huwa hayapotei! Mimi nina jina la babu mzaa baba, kaka yangu ana jina la babu mzaa mama, n.k.
Hata hivyo kuna wengine (hasa wakristo), hutumia majina ya kwenye biblia, mfano; Habakuki, Hagai, Haruni, Sarah, Anna, Hanna, Miriam, Mariam, n.k.
Kazi ni kwako!!
 
Acha ujinga hayo majina mliyofikiria hayafai hata kidogo..
 
Hayo majina hayafai mwite mtoto jina kuendanaa na mtakavyokubaliana wawili
 
ha ha ha ha
akimwita Maufong anakula wanawake wote wa mtaa
yuha naye si ni aliyekula redio, anaongea kama clouds
vizuri sana wa kike mwite FAIZA FOXY NA KONGOSHO au MAUFONG,YUHA.YOUNG XUE,EUGEN AU EUGENIA
 
Hongera kaka.Jina wakati mwingine hutoa mwelekeo wa maisha ya mtoto.Usimwite mtoto jina lenye maana isiyokuwa na mizizi namaanisha inayoyumba.

Kwa sababu ninyi ni waswahili (watanzania) lakini wenye makabila na dini tofauti wape majina yatakayo-balance: kwa mfano kwa wa kiume AMANI wa kike UPENDO au NEEMA.Kila la kheri
 
wangoni hatuna majina kama hayo, na mke wangu ana bifu na ukoo wa Kongosho

ungesema mapema kama we ni mngoni basi simple wangoni mna majina mazuri tu ya ukoo kama mapunda ,manyani, mang'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…