GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Ivo Mapunda.
2. Ramadhan Kessy.
3. Mohamed Hussein " Tshabalala ".
4. Hassan Isihaka.
5. Juuko Murshid.
6. Hassan Banda.
7. Said Ndemla.
8. Peter Mulyanzi.
9. Hamis Kiiza.
10. Laudit Mavugo.
11. Emanuel Okwi.
Naombeni Msaada Kama Kuna Mtu Anaweza Akakibadilisha au Tu Akabashiri Kwa Kikosi Hicho Unadhani Kikikutana Na " Wazee Wa Mafuriko " Safari Hii Watakoga Ngapi? Hivi Kwa Kikosi Hicho Kweli Simba Sports Club Haiwezi Kuwa Bingwa Ndani Ya Raundi Ya Kwanza Tu Ya Ligi Kuu Ya Vodacom Na Raundi Ya Pili Tukaishia Kuchezesha Vijana Wa Timu B Yetu?
Nawasilisha.
2. Ramadhan Kessy.
3. Mohamed Hussein " Tshabalala ".
4. Hassan Isihaka.
5. Juuko Murshid.
6. Hassan Banda.
7. Said Ndemla.
8. Peter Mulyanzi.
9. Hamis Kiiza.
10. Laudit Mavugo.
11. Emanuel Okwi.
Naombeni Msaada Kama Kuna Mtu Anaweza Akakibadilisha au Tu Akabashiri Kwa Kikosi Hicho Unadhani Kikikutana Na " Wazee Wa Mafuriko " Safari Hii Watakoga Ngapi? Hivi Kwa Kikosi Hicho Kweli Simba Sports Club Haiwezi Kuwa Bingwa Ndani Ya Raundi Ya Kwanza Tu Ya Ligi Kuu Ya Vodacom Na Raundi Ya Pili Tukaishia Kuchezesha Vijana Wa Timu B Yetu?
Nawasilisha.