Nisaidieni kupata soko la Njugu na Komamanga

Nisaidieni kupata soko la Njugu na Komamanga

Joined
Mar 18, 2015
Posts
51
Reaction score
0
Wana JF,

Kwa mara nyingine naomba mnijuze soko la Komamanga na Njugu. Mimi ni mkulima kwa sassa nina njugu za kutosha lakini pia natarajia kuwa na kilimo kikubwa cha Komamanga mwakani. Nawaombeni mnipe mrejesho wa masoko ya mazao hayo tafadhali.

Nasubiri mawazo mwenzenu
 
Boss, natamani kulima komamanga. Naomba unijuze wapi nitapata mbegu au miche. Pia napenda kujua kutoka kupanda mpaka kuvuna komamanga inachukua muda gani?
 
Aisee Komamanga nazifagilia kweli.
Nataka nipande kwa home use nitakutafuta.
Saula la Komamanga jaribu kutafuta soko la Nje ya nchi hasa Ulaya.
Maana unajua hapa kwetu hadi atokee Mganga aseme faida ya Komamanga ndio watu watanunua teleee.
Maana mie ukiniuliza na upenzi wangu wote wa Komamanga nina mwaka wa tatu sijalila.

Nakushauri kama ukilima na ukawa na ubora wa zao lenyewe,maana Komamanga ni miongoni mwa mazao yanayoshambuliwa sana na wadudu.
 
Aisee Komamanga nazifagilia kweli.
Nataka nipande kwa home use nitakutafuta.
Saula la Komamanga jaribu kutafuta soko la Nje ya nchi hasa Ulaya.
Maana unajua hapa kwetu hadi atokee Mganga aseme faida ya Komamanga ndio watu watanunua teleee.
Maana mie ukiniuliza na upenzi wangu wote wa Komamanga nina mwaka wa tatu sijalila.

Nakushauri kama ukilima na ukawa na ubora wa zao lenyewe,maana Komamanga ni miongoni mwa mazao yanayoshambuliwa sana na wadudu.
Nashukuru kwa mchango wako.....nisaidie kujua zaidi soko la tunda hili hapa ndani ya nchi kwanza...vipi kuhusu njugu, ni kweli hazina soko?
 
Aisee Komamanga nazifagilia kweli.
Nataka nipande kwa home use nitakutafuta.
Saula la Komamanga jaribu kutafuta soko la Nje ya nchi hasa Ulaya.
Maana unajua hapa kwetu hadi atokee Mganga aseme faida ya Komamanga ndio watu watanunua teleee.
Maana mie ukiniuliza na upenzi wangu wote wa Komamanga nina mwaka wa tatu sijalila.

Nakushauri kama ukilima na ukawa na ubora wa zao lenyewe,maana Komamanga ni miongoni mwa mazao yanayoshambuliwa sana na wadudu.

Hahaha....mpk atoke mganga awatangazie watu hahaha
 
Njugu nahisi Kenya ipo vizuri.

Na pia kipindi hiki ni msimu wa Mwezi wa Ramadhani tunaelekea,zitakuwa na soko zuri mikoani.
Maana hutumika sana kipindi hicho.

Uhakika zaidi sina,ila unaweza kwenda kuonana na wataalam Pale Chuo kikuu cha Kilimo SUA,wanaweza kukushauri soko lake lipo wapi.
 
Back
Top Bottom