Forrest Gump JF-Expert Member Joined Jul 2, 2021 Posts 637 Reaction score 1,532 Aug 20, 2024 #1 Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia. Vipele vipo kwapani na miguu Karibuni wakuu.
Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia. Vipele vipo kwapani na miguu Karibuni wakuu.
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 11,050 Reaction score 31,412 Aug 20, 2024 #3 Jaribu hio sabuni ndugu, ina matokeo mazuri sana.
Lukonge JF-Expert Member Joined Jul 31, 2015 Posts 1,469 Reaction score 2,086 Aug 20, 2024 #4 Forrest Gump said: Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia. Vipele vipo kwapani na miguu Karibuni wakuu. View attachment 3074966 Click to expand... 1: Miguuni sehemu gani? 2: Kuna mtu mwingine kwenye familia anapata muwasho kwa kipindi hiki mtoto akiwa anaumwa? 3: Ina muda gani akiwa anaumwa? 4:Nyinyi wazazi au kama mna watoto wengine, kuna mwenye tatizo la allergy? Kama ipo ni ya kitu gani?
Forrest Gump said: Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia. Vipele vipo kwapani na miguu Karibuni wakuu. View attachment 3074966 Click to expand... 1: Miguuni sehemu gani? 2: Kuna mtu mwingine kwenye familia anapata muwasho kwa kipindi hiki mtoto akiwa anaumwa? 3: Ina muda gani akiwa anaumwa? 4:Nyinyi wazazi au kama mna watoto wengine, kuna mwenye tatizo la allergy? Kama ipo ni ya kitu gani?