Nisaidieni kupata tiba ya upele kwa mtoto wa miezi 8

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
637
Reaction score
1,532
Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia.

Vipele vipo kwapani na miguu

Karibuni wakuu.

 
Tumesheenda hospitali mara 3 ila na kupewa madawa ya allergy, topical creams na sabuni, dawa za mchafuko wa damu ila bado hali hii inajirudia.

Vipele vipo kwapani na miguu

Karibuni wakuu.

1: Miguuni sehemu gani?

2: Kuna mtu mwingine kwenye familia anapata muwasho kwa kipindi hiki mtoto akiwa anaumwa?

3: Ina muda gani akiwa anaumwa?

4:Nyinyi wazazi au kama mna watoto wengine, kuna mwenye tatizo la allergy?
Kama ipo ni ya kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…