KIBALAKA au KIBARAKA ??
KIBARAKA ni yule mtu aliechaguliwa / aliepewa mamlaka na kuwaendea kinyume watu wake / waliomuweka / waliomchagua kwa kufata matakwa ya watu wengine.
KIBARAKA=KIKARAGOSI ambapo hucheza ( sio kwa amri yake ) kwa amri ya mchezeshaji. Hutumika sana kwa kusema viongozi wa nchi.
Wajuzi watakuja kukufahamisha zaidi