Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
bati nyingi kama ngap mkuuUjenzi huu wa kisasa unapelekea kutumia bati nyingi sana.
Ni njia gani nzuri ya kupelekea uwezekano wa kutumua bati chache ila isiwe hidden roof house.
Huna hela tu, hakuna ujenzi unao tumia bati nyingi ,we jenga mgongo wa tembo tu usijisumbue kushindana na waramba asaliUjenzi huu wa kisasa unapelekea kutumia bati nyingi sana.
Ni njia gani nzuri ya kupelekea uwezekano wa kutumua bati chache ila isiwe hidden roof house.
AhahahPiga paa la kubwa jinga style
Yaani mbao zikaribie kulala kabisa
I nakosa show na JOTO unakuwa umeliarika rasmi ndani kwa sisi tunaoishi kwenye jotoPiga paa la kubwa jinga style
Yaani mbao zikaribie kulala kabisa
Kwanza mtaa utakao Jenga wote watakuwa wanakutolea mfano wa Nyumba yako.I nakosa show na JOTO unakuwa umeliarika rasmi ndani kwa sisi tunaoishi kwenye joto
HahaahahahahahahaKwanza mtaa utakao Jenga wote watakuwa wanakutolea mfano wa Nyumba yako.
Pili haitovutia kimuonekano hasa likiwa jumba kubwa.
Ukipiga JANGWANI style a.k.a Contemporary au Sina Hela mie ujue itavuja tu na kuongeza mzigo kwenye finishing.
Kifupi nakushauri tu, ukimaliza kozi tatu jipange taratibu uzuri Nyumba ya tofari haiozi.
Uje kupaua kwa Walamba asali style ambayo Nyumba itapendeza, kuwa makini na mabati feki, huwa inakera zikipauka wakati pesa umeitafuta kwa kung'ata meno.
NB: Nilikaa two years ndio nikaenda kupaua na kuweka grill, kumbuka ukiweka Nyeupe unajikuta upo peke yako kwenye huo mtaa.
Factors zinazopelekea idadi ya bati kuwa chache au kuwa nyingiUjenzi huu wa kisasa unapelekea kutumia bati nyingi sana.
Ni njia gani nzuri ya kupelekea uwezekano wa kutumua bati chache ila isiwe hidden roof house.
Akipaua fundi Maiko msimu wa mvua kama mko chini ya mwembeContemporary style haili bati nyingi. Ila uwe na fundi anayeijua kazi yake, otherwise utakuwa mtu wa kudeki na kuzogeza furniture kila mvua zinaponyesha.