The email JF-Expert Member Joined Nov 16, 2022 Posts 678 Reaction score 1,311 Mar 29, 2023 #21 Narudia tena, tutafute hela ,hakuna mjengo unao kula bati,
C Chief Platinum Member Joined Jun 5, 2006 Posts 3,588 Reaction score 3,194 Mar 29, 2023 #22 Forrest Gump said: Ujenzi huu wa kisasa unapelekea kutumia bati nyingi sana. Ni njia gani nzuri ya kupelekea uwezekano wa kutumua bati chache ila isiwe hidden roof house. Click to expand... Mbona ni rahisi tu, usijenge kisasa?
Forrest Gump said: Ujenzi huu wa kisasa unapelekea kutumia bati nyingi sana. Ni njia gani nzuri ya kupelekea uwezekano wa kutumua bati chache ila isiwe hidden roof house. Click to expand... Mbona ni rahisi tu, usijenge kisasa?
Equitable JF-Expert Member Joined Dec 24, 2021 Posts 2,017 Reaction score 5,462 Mar 30, 2023 #23 Kuna mafundi wanaunga migongo mitatumitatu. Yaani migongo sita inalaliana(mitatu kwa kila bati). Waogope sana. Kuna wanaounga miwilimiwil. Hawa wanafaa. Ogopa atakayeunga mmoja mmoja. Nyumba itavuja
Kuna mafundi wanaunga migongo mitatumitatu. Yaani migongo sita inalaliana(mitatu kwa kila bati). Waogope sana. Kuna wanaounga miwilimiwil. Hawa wanafaa. Ogopa atakayeunga mmoja mmoja. Nyumba itavuja