Nisaidieni malipo ya hii kodi

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,983
Reaction score
1,423
Nategemea kupokea kitelevesion changu kutoka nje kwa EMS chenye gharama kama dollar 1,000.inch 42 LED 3 D. nimepiga simu TRA wananiambia kodi Tshs.720,000.Jamani nikitu kinachowezekana kweli na mahesabu ya kodi wanacalculate kwa formula gani?.
 
Mh kuna mashaka hapo, ngoja waje wanaoelewa vizuri hayo makato ya kodi yanakuwaje
 
Yawezekana kabisa. Mimi nilileta tv ya nchi 42 LED kwa cargo, walinacharge 1.5 milion. wanajinsi yao ya kucalculate,japo yaumiza watanzania. nadhani wanaangalia bei ya hizo tv tanzania ndo wanapiga kodi. jiandae tu kuilipa
 
wafanyabiashara huwa hawalipi kodi halali,so kwa wewe unayeleta moja moja,utapata tarrif ya halali,kumbuka kwa serikali yetu TV ni anasa 🙁
miaka siyo mingi sana mpaka around 1992 ilikuwa unapewa kadi ya kumiliki TV,ilikuwa na rangi ya njano kama kadi ya kumiliki gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…