mdogo wangu amepata div 3 ya 24 anataka akasome (d.i.t) masomo kati ya LABORATORY SCIENCE AND TECHNOLOGY au BIOMEDICAL ENGINEERING..ipi itakuwa njia raisi ya kuwa daktari.Naomba msaada wenu wana Jamii Forum..
Ndugu yangu incredible thinker, hakuna njia rahisi ya kuwa daktari. Kumbuka daktari anashughuka na uhai amabo ukitoweka haurudi. Hivyo ili mdogo wako awe dr. lazima asome sana. .Mtoto wangu alikuwa akiumwa ugonjwa ambao haukulikana, tulianzia hospitali za chini hadi Muhimbili. Tulijua tatizo liko kichwani lakini tulipomfikisha hosputali ya rufaa madr walianza hatua za mwanzo; tulipowauliza walisema hivi " hapa ndiyo hospitali ya rufaa kwa Tanzania, hatupaswi kushindwa maana tukishindwa basi mtoto akafe; na hapaswi kufa" Hao ndio madaktari wa kweli. Nikirudi kwenye suala lako; labouratory science and technology inafahamika vizuri kwani ni field ya siku nyingi. Linalokutatiza ni hiyo biomedical. Hakika hili ni suala jipya hasa kwa nchi zetu. Anyway nime-google na kupata maelezo yafuatayo hapa chini, Ni field inayohitaji mtu asome sana. Labda tu kwa kukutia moyo, binti yangu amechaguliwa kusoma electrical and biomedical engineering Arusha tech. Biomedical engineering (BME) is the application of engineering principles and design concepts to medicine and biology for healthcare purposes (e.g. diagnostic or therapeutic). This field seeks to close the gap between engineering and medicine: It combines the design and problem solving skills of engineering with medical and biological sciences to advance healthcare treatment, including diagnosis, monitoring, and therapy.[1] Biomedical engineering has only recently emerged as its own discipline, compared to many other engineering fields. Such an evolution is common as a new field transitions from being an interdisciplinary specialization among already-established fields, to being considered a field in itself. Much of the work in biomedical engineering consists of research and development, spanning a broad array of subfields (see below). Prominent biomedical engineering applications include the development of biocompatible prostheses, various diagnostic and therapeutic medical devices ranging from clinical equipment to micro-implants, common imaging equipment such as MRIs and EEGs, regenerative tissue growth, pharmaceutical drugs and therapeutic biologicals. Biomedical engineering can be viewed from two angles, from the medical applications side and from the engineering side. A biomedical engineer must have some view of both sides. As with many medical specialties (e.g. cardiology, neurology), some BME sub-disciplines are identified by their associations with particular systems of the human body, such as: Cardiovascular technology Neural engineering Orthopaedic implantsBut more often, sub-disciplines within BME are classified by their association(s) with other more established engineering fields, which can include (at a broad level):Biochemical-BME, based on Chemical engineering - often associated with biochemical, cellular, molecular and tissue engineering, biomaterials, and biotransport. .Bioelectrical-BME, based on Electrical engineering and Computer Science - often associated with bioelectrical and neural engineering, bioinstrumentation, biomedical imaging, and medical devices. This also tends to encompass optics and optical engineering - biomedical optics, bioinformatics, imaging and related medical devices. Biomechanical-BME, based on Mechanical engineering - often associated with biomechanics, biotransport, medical devices, and modeling of biological systems, like soft tissue mechanics.