Nisaidieni maswali kwa kemia na bailojia.

Nisaidieni maswali kwa kemia na bailojia.

Joined
Oct 29, 2012
Posts
86
Reaction score
4
1. Kwanini samaki anaweza kupumua akiwa ndani ya maji, lakini nchi kavu anakufa?
2. Oksijeni inaingiaje ndani ya maji na hali ya kuwa oksijeni ni nyepesi kuliko maji? (density ya oksijeni 0.00142g/cc, ya maji ni 1g/cc.
 
1. Kwanini samaki anaweza kupumua akiwa ndani ya maji, lakini nchi kavu anakufa?
2. Oksijeni inaingiaje ndani ya maji na hali ya kuwa oksijeni ni nyepesi kuliko maji? (density ya oksijeni 0.00142g/cc, ya maji ni 1g/cc.


Prof....???
 
Back
Top Bottom