Nisaidieni mawazo juu ya huyu mke wa mtu

FirstLady1 Siyo kila Mwanaume anayetaka atakwambia anataka. Huwezi ukadai hutaki wakati huo huo mazingira na matendo unayoyafanya ya kuendelea kum-entertain yanaonyesha wazi kuwa uko interested.

Akili ni nywele . . .

Sawa ndugu yangu na wewe mbona huonekani ..hakuna shindano lingine?
 
We piga tu mara moja uache, vinginevyo heshima haitakuwepo.
 
Mke wa mtu ni mtamu kuliko maelezo. Afu ana nidhamu na hana usumbufu.

Afu nakudai hela yangu ujue. Nshakopa stanbic bank nikitegemea utanipa hela yangu nikalipe deni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…