FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
FirstLady1 Siyo kila Mwanaume anayetaka atakwambia anataka. Huwezi ukadai hutaki wakati huo huo mazingira na matendo unayoyafanya ya kuendelea kum-entertain yanaonyesha wazi kuwa uko interested.
Akili ni nywele . . .
hii ilimtokea jamaa yangu ila yeye alikiri kanyonya tu ukuni but hajaliwa tigo......
Mie nashangaa sana si ujisevie tu chakula kimejileta, Kimbweka huwa halazi damu anakupa kitu ukalale......
Naona hapa shuzi limeshampata mjambaji
Sawa ndugu yangu na wewe mbona huonekani ..hakuna shindano lingine?
Mke wa mtu ni mtamu kuliko maelezo. Afu ana nidhamu na hana usumbufu.Mke wa mtu muogope kama ukoma. It is simple. it is clear. Kama huamini endelea tu kuliendekeza hilo jambo.
Shida ni kuwa hujawa bold enough kumweleza in black and white kuwa HAIWEZEKANI na HUTAKI kwamba kitu anachotamani is a Death Risk.
Fuata ushauri wa boss wako.