Kuna mtu mimea/mazao yake imeliwa na mifugo wa jirani yake. Na Jamaa mwenye mifugo anakataa kuwa mifugo wake hawajaingia Kwenye shamba lake.
Utajengaje ushahidi kuwa kweli ni mifugo yake ndiyo imekula mazao yako na hali hukuikuta mifugo yake shambani mwako, ukaikamata kama kizibiti (exhibit).
Sheria unasemaje katika scenario kama hiyo?
Utajengaje ushahidi kuwa kweli ni mifugo yake ndiyo imekula mazao yako na hali hukuikuta mifugo yake shambani mwako, ukaikamata kama kizibiti (exhibit).
Sheria unasemaje katika scenario kama hiyo?