Waliambiwa tu na waliiona mifugo ile.Sababu zinazowafanya muamini mifugo yake imekula mazao ndio mzitumie kama ushahidi.
Kama ni yeye pekee ana mifugo maeneo hayo kazi inakuwa rahisi sana. Tatizo ukute majirani wengine pia wana mifugoKuna mtu mimea/mazao yake imeliwa na mifugo wa jirani yake. Na Jamaa mwenye mifugo anakataa kuwa mifugo wake hawajaingia Kwenye shamba lake.
Utajengaje ushahidi kuwa kweli ni mifugo yake ndiyo imekula mazao yako na hali hukuikuta mifugo yake shambani mwako, ukaikamata kama kizibiti (exhibit).
Sheria unasemaje katika scenario kama hiyo
Labda ushahidi wa kimazingira au watu walioshuhudia tukio. Nao hawakupiga hata picha/video. Wafugaji wanakera sanaWaliambiwa tu na waliiona mifugo ile.
Nakumbuka zamani ukikuta mifugo Kwenye shamba lako unaikamata na kuitunza mpaka mwenyewe aje muelewane. Sasa hawakuwepo kuikamata. Unafanyaje?
Nadhani wanaweza kutumia ushahidi wa hao walioshuhudia tukio hilo.Waliambiwa tu na waliiona mifugo ile.
Hapo upelelezi wa kina unahitajikaKuna mtu mimea/mazao yake imeliwa na mifugo wa jirani yake. Na Jamaa mwenye mifugo anakataa kuwa mifugo wake hawajaingia Kwenye shamba lake.
Utajengaje ushahidi kuwa kweli ni mifugo yake ndiyo imekula mazao yako na hali hukuikuta mifugo yake shambani mwako, ukaikamata kama kizibiti (exhibit).
Sheria unasemaje katika scenario kama hiyo
Kama hakuna ushahidi hatalipwa, Cha kufanya alipe kisasi kama anaweza, maana Kuna makosa ambayo mtu hufanya, na ukakosa ushahidi lakini ni kweli kafanya, amfanyie kitu inaitwa Torati ili akomeKuna mtu mimea/mazao yake imeliwa na mifugo wa jirani yake. Na Jamaa mwenye mifugo anakataa kuwa mifugo wake hawajaingia Kwenye shamba lake.
Utajengaje ushahidi kuwa kweli ni mifugo yake ndiyo imekula mazao yako na hali hukuikuta mifugo yake shambani mwako, ukaikamata kama kizibiti (exhibit).
Sheria unasemaje katika scenario kama hiyo
Hakun kesi hapo ni kupoteza muda.hakuna ushaidi wowoteHapo upelelezi wa kina unahitajika
Malisho ya mifugo yake ni wapi
Routine ya kulisha ikoje
Nyayo za mifugo nknk
Hakuna picha walizonazo. Lakini na picha wakizitoa si wenye mifugo wanaweza kusema this is an afterthought kuwa ni dramatized after the incident.Labda ushahidi wa kimazingira au watu walioshuhudia tukio. Nao hawakupiga hata picha/video. Wafugaji wanakera sana
Unfortunately Baada ya kula mazao ya jirani mvua ilinyesha na hivyo nyayo hazipo na Leo ni siku ya 14 wanatafakari wafanyeje maana uharibifu ulikuwa mkubwa, wameumia sanaHapo upelelezi wa kina unahitajika
Malisho ya mifugo yake ni wapi
Routine ya kulisha ikoje
Nyayo za mifugo nknk
Kesi ipo na ushahidi upoHakun kesi hapo ni kupoteza muda.hakuna ushaidi wowote
Kesi ipo na ushahidi upoHakun kesi hapo ni kupoteza muda.hakuna ushaidi wowote
Kwa Tanzania hapo ni ngumu maana zimeshapita wiki 2Unfortunately Baada ya kula mazao ya jirani mvua ilinyesha na hivyo nyayo hazipo na Leo ni siku ya 14 wanatafakari wafanyeje maana uharibifu ulikuwa mkubwa, wameumia sana
Jirani anae haribu mazao yako kwa kutokua muangalifu wa mifugo yake, huyo hana adabu na anadharau kubwa. Hafai hata kudumisha nae ujirani.Siyo kila shauri ni lazima ushinde.Mengine unaacha makusudi ili ujirani udumu.Jifunze hilo
Kama kuna watu walio ona tukio basi hili ni lakupeleka kwenye ofisi ya Kata/Kijiji/ ili huyo muhusika aitwe na awajibishwe. Hili shauri litasikilizwa hata kama tukio lilitokea wiki 2 zilizo pita, hapo hoja inaweza ikawa mlikua mnajaribu kufanya usuluhishi kabla ya kufikisha shauri kwenye ofisi ya mwenyekiti wa kijiji ama mtendaji wa kata.Unfortunately Baada ya kula mazao ya jirani mvua ilinyesha na hivyo nyayo hazipo na Leo ni siku ya 14 wanatafakari wafanyeje maana uharibifu ulikuwa mkubwa, wameumia sana
Kuna kipindi usipotoa adhabu yenye kudhihirika unakuwa umetoa adhabu kubwa zaidi.Anajua kwamba unajua amekukosea halafu umemuacha.Ni adhabu zaidi ya adhabu.Jirani anae haribu mazao yako kwa kutokua muangalifu wa mifugo yake, huyo hana adabu na anadharau kubwa. Hafai hata kudumisha nae ujirani.
asante sanaKama kuna watu walio ona tukio basi hili ni lakupeleka kwenye ofisi ya Kata/Kijiji/ ili huyo muhusika aitwe na awajibishwe. Hili shauri litasikilizwa hata kama tukio lilitokea wiki 2 zilizo pita, hapo hoja inaweza ikawa mlikua mnajaribu kufanya usuluhishi kabla ya kufikisha shauri kwenye ofisi ya mwenyekiti wa kijiji ama mtendaji wa kata.