Nisaidieni mawazo

Nisaidieni mawazo

Kafuta

Senior Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
119
Reaction score
29
Wandugu mwenzenu nimetokea kumzimia mdada mmoja vibaya.na yeye anajua hilo,sasa celewi kwa upande wake ni hivyo au la..tatizo lingne ni kwamba yuko mbal na ninapoish yaan mkoa mwingne.na nikimtaka aje nilipo anadai yuko biz ile mbaya.hana muda..ila alinikaribisha pia niende na mm biz mbaya,,nipeni njia nzur ya kumvuta kwangu..maana nimeshndwa kabisa kumshawish aje japo cku moja..maelezo hayajakaa vema sana lakin naamini ntakua nimeeleweka
 
Sasa kama huelewi kwa upande wake si umuulize?!Au unataka sisi tukisie?!

Pili kama ambavyo mambo yako ni muhimu huwezi kwenda kumtembelea ndivyo ambavyo na yakwake ni muhimu hivyo hawezi kukutembelea.Sasa kwasababu wewe ndie mwenye shida piga mahesabu uamue nini cha kufanya.Unampenda sana mfuate alipo....humpendi potezea!
 
yeye kuja kwako hawezi kisa yuko bize,
wewe kwenda kwake huwezi kisa uko bize


anataka uende kwake

unataka aje kwako

mhhh!! Mi sina njia ya kufanya uwe nae karibu labda kama inawezekana umtumie/akutumie hicho anachokitaka/unachokitaka kwa njia ya posta.
 
yeye kuja kwako hawezi kisa yuko bize,<br />
wewe kwenda kwake huwezi kisa uko bize<br />
<br />
<br />
anataka uende kwake<br />
<br />
unataka aje kwako<br />
<br />
mhhh!! Mi sina njia ya kufanya uwe nae karibu labda kama inawezekana umtumie/akutumie hicho anachokitaka/unachokitaka kwa njia ya posta.
<br />
<br />
a2mie BLUETOOTH
 
Ubize gani huo hadi unashindwa kwenda. Jifungashe ijumaa ijayo uende. Kama vipi yeye atoke huko wewe utoke huku mkutane kati.
 
Ubize gani huo hadi unashindwa kwenda. Jifungashe ijumaa ijayo uende. Kama vipi yeye atoke huko wewe utoke huku mkutane kati.
Nimecheka ulivyomshauri ajifungashe ijumaa ijayo..lol.. Why isiwe kesho?? Afu mwenzie yuko bize, atamkuta kwel jaman??
 
Kaka Fimbo ya mbali haiui nyoka! hawezi kuja coz bado hajawa sure unataka nini kwake. Ukienda huko aliko atajua uko serious kweli lkn hii ya kumwambia aje nahisi anadhani unataka kumtumia tuu na kumwacha. Km kweli unampenda na una uhakika na yeye ana feel sawa km wewe mfuate si mbaya wenzetu wanapenda kunyenyekewa na kuonyeshwa kwamba unajali. Hivi hivi kaka utaishia kuomba maoni daily!!
 
yeye yuko bize na ww upo bize siku ubize ukiwaisha mtakutana, nashindwa kuelewa kama wewe unampenda unashindwa nn kwenda, watu wanavuka bahari saba itakuwa wewe hapo tu, jitume kijana onyesha udume wako
 
Love is all about sacrifice, my dear. Kama unampenda kwa dhati basi muoneshe kuwa unamaanisha, jitoe na umfate wala usitegee yeye aje kwako. Just do it for the sake of ur love, lasivyo mtaishia kuhang hang tu hatimae kila mmoja anaanza kusepa kivyake vyake!
 
watu wanapanda milima na kushuka mabonde kuwafata wapenzi wao
 
Ndugu unajua nini maana ya kupenda wewe au unamtamani?mapenzi ni upofu.jipangu umfate so as ajione special.mwanamke hawezi kujipendekeza kwako you have to initiate this.mfanye ajisikie na utapata maksi nyingi sana.nenda.
 
Back
Top Bottom