Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kifupi Jamaa wanasema mwanaume ni mwenye familia na anajitegemea
Hakuna kitu kama hicho sababu kama ndo hivyo basi hata msichana aliyevunja ungo na ana watoto nae ataitwa MWANAUME sababu atakuwa anaitwa mwenye familia na anayejitegemea
U sahihi kwenye tafasiri ya mwanaume....hapo kwenye al-rijal...pitia tena utapata maana halisi!neno mwana lina asili ya kibantu maana yake ni mtoto, mwanamume ni mtoto wa yeyote mwenye jinsia ya kiume. mwanaume ni nomino kuu, kiumri wanaume ndo jina tunalitofautisha tena inategemea na mazingira. mf.. nyumbani wote wenye jinsia ya kiume tunaitwa wanaume. maeneo yenye watoto wa rika fulani mf (15-22), nazungumzia shuleni na ktk nyumba za ibada watu hawa wanaweza kuitwa wavulana.....ni hayo tu ila wanaosema mwanaume ni mwenye familia wanakosea ni sawa na anaemuita mwanaume mwenye nguvu rijali na kusahau kuwa rijali ni neno la kiarabu linalomaanisha mwanaume
mi ndo najua hivo labda unipashe zaidiU sahihi kwenye tafasiri ya mwanaume....hapo kwenye al-rijal...pitia tena utapata maana halisi!
Hapana shaka yoyote kuwa ulivyosema ndivyo linavyotumika kimatumizi.kwa mm nijuaavyo mwanaume ni binadamu mwenye uume ila awe kesha balehee kama hajablehe anajulikana kwajina mvulana na mwanamke ni binadamu ambaye kesha vunja ungo kama hajavunja huyo ni msichana japo wengi huxema mwanamke ni ambaye ameshazaa au kuzalishwa sasa huko mm cpo naomba niwasilishe
Kwa mujibu wa kamusi ya kiwahili sanifu (2004) neno Mwanamume/mwanaume lina maana ya mtu yeyote mwenye jinsia ya kiume.