oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
mh wana jf nisaidieni..mimi naishi na mjomba wangu na yeye ndie kama mzazi wangu kwa hapa jijini,lakini nina mama yangu mzazi yupo mkoani huko na hapa jijini nasoma chuo mwaka wa pili naingia wa tatu hapo october..sasa nina boyfriend wangu ambae tumetoka mbali sana na nina mpenda sana..sasa anataka kunitolea mahali eti mjomba kakataa nkimukiza kisa anadai time will tell mara hamtaki that mwanaume,wakati mama yangu mzazi kakubari ila nae anamsikiliza sana mjomba...na mbaya zaidi kaniambia ni cancell kila kitu.wakati upande wa mwanaumewamekuja tayari na wapo kwenye kujipanga..nifanyaje?