nisaidieni na hili

Kipipi unaishi wapi ndg yangu?
Angalia kwenye red hapo chini.
WANAUME WANAOKUBALIWA KUFUNGWA PINGU ZA MAISHA TZ HAWAONEKANI WOTE WANAJIFICHA na kina dada wanawawinda kweli,sasa dada kampata wewe unamwambia amwambie jamaa asubiri?si atafurahia kula vya bure,vikichakaa anachukua vingine brand new?

SIKU HIZI
 
huyo my uncle wako anataka uolewe na mwanawe yeye ndio maana hamkubali huyo bwana wako
 
Don't rush into this, Jipange na umalize elimu yako. Mjomba anaangalia furure yako na ni lazima matunda ya elimu yako yaonekane. Trust Me. Kama kweli anakupenda atasubiri tuu...


shule ntamaliza na ntasoma sana 2 ila kapata mahali now..amwache atoe jamani
 




asante mpenzi,ntasimama na msimamo wangu,manake wasije wakadhani kua mimi kuondoka na kuish na huyo mwanaume nashindwa naweza ila sema nawaheshimu sana,nimepata this kwangu naita bahati kama mambo hayata niendea vizuri basi nijute kwa kujilaumu
 
tauta mtu mzima ambaye ni ndugu yenu amkalishe mjomba kumshawishi. ila akikataa kabisa na mama akakubaliana nae, sidhani kama itakuwa vema kuolewa sasa au hata na huyo jamaa. kitu kimoja naamini, ur parents knows baby gal! so trust them,manake kesho na keshokutwa ukipatwa na lolote u will need them. waliona jua kabla yako, experience is a good teacher.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…