Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri inalidhisha.NAOMBENI MSAADA WENU!!!
Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri inalidhisha.NAOMBENI MSAADA WENU!!!