Nisaidieni nafasi za kazi.,

SURN

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
319
Reaction score
36
Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri inalidhisha.NAOMBENI MSAADA WENU!!!
 
Lowasa alishasema hv kuna bom linasubr kulipuka muda wowote....we uliewaje?
 
Atume maombi kila atakaposikia kuna kazi huku akimwomba sana huyu mwokozi aliyezaliwa leo
 
Huyo dada yako ye hawez tafuta kazi mwenyewe hadi umtafutie?
 
Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri inalidhisha.NAOMBENI MSAADA WENU!!!

GPA nzuri ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…