KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 277
tumia mafuta ya taa weka kwenye menu na fatilia diet ya makasisi itakusaidia.
tumia mafuta ya taa weka kwenye menu na fatilia diet ya makasisi itakusaidia.
tatizo ni kwamba unatumia muda mwingi kuwaza sex,unajua sex inaongozwa ha hisia zinazo amsha homon.
Nakushauri tumia muda mwingi kufanya kazi na kufanya mambo ya maendeleo.kama ni mwanachuo au mwanafunzi,tumia muda mwingi kusoma na pale unapokuwa na mpenzi wako uwe unaridhika.too much any thing is hamful.
hiyo ni hatari hata kwa afya yako na ukimata mwanamke mwenye tatizo kama lako,hali ndo ingekuwa mbaya zaidi.maana mngekuwa mnadu 24hrs.
WanaJF mambo vp? Nimeshindwa kujielewa sijui hili ni tatizo au vp.Sijawahi tumia dawa ya aina yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume lakini cha kushangaza ninaweza piga mzigo mara saba kwa siku na mfululizo kwa wiki na hata mwezi na hii imepelekea kumchosha sana mke wangu nimejaribu kutumia mbinu ya kabla sijalala napiga nyeto ili kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini naona haisaidii kitu na huu ni mwaka wa nne nikiwa na tatizo hili sasa nimeshindwa kujielewa.Tafadhalini naombeni msaada kwa wenye uzoefu wa mambo haya na sii kunikashfu/utani.
WanaJF mambo vp? Nimeshindwa kujielewa sijui hili ni tatizo au vp.Sijawahi tumia dawa ya aina yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume lakini cha kushangaza ninaweza piga mzigo mara saba kwa siku na mfululizo kwa wiki na hata mwezi na hii imepelekea kumchosha sana mke wangu nimejaribu kutumia mbinu ya kabla sijalala napiga nyeto ili kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini naona haisaidii kitu na huu ni mwaka wa nne nikiwa na tatizo hili sasa nimeshindwa kujielewa.Tafadhalini naombeni msaada kwa wenye uzoefu wa mambo haya na sii kunikashfu/utani.
nimeupenda huo msemo.tulianza hivyohivyo..... Sasa hata kimoja shida
mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe