Nisaidieni namna ya kuanzisha charity organization

Nisaidieni namna ya kuanzisha charity organization

Konzogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
434
Reaction score
156
Wakuu nawasalimu, ama baada ya salam naomba mnisaidie kujua procedures za kuanzisha charity organisation kwa hapa kwetu Tz.Natanguliza shukrani!
 
Kama hujui procedures unataka kuanzisha ya nini na nini? Au ni wale wale akina WAMA? Kawauulize Salma Kikwete, Shariff Majaar au Anna Mkapa watakwambia ila utachemsha kwa vile wewe si mke au mume wa mkubwa.
 
Back
Top Bottom