Nisaidieni, nashindwa kujua mzunguko wa siku zake

Nisaidieni, nashindwa kujua mzunguko wa siku zake

victer

Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
58
Reaction score
9
Ndugu zangu heshima kwenu,

Nimejitokeza kuulizia hili kwa sababu sina ufahamu nalo kidogo binafsi nina mpenzi wangu ambae tumekuliana tupate mtoto lakini shida inakuja kua mimi nashindwa kujua mzunguko wake umekaaje.

Mwezi wa June tar 24 aliingia M.P amekuja kuingia tena tar 24 mwezi hui wa saba, hapo nashindwa kujua mzunguko wa huyu mtu ni wa siku ngapi na pia kama M.P yake ya mwisho kaingia tar 24 July na M.P kuisha imechukua karibu siku saba je naweza kukutana nae ili tupate mtoto?
 
Muulize hata yeye anajua au unamuogopa???


Alafu uandishi mbovu sana huu mkuu, watu wanaweza wasikuelewe kabisa
 
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
 
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
Muulize hata yeye anajua au unamuogopa???


Alafu uandishi mbovu sana huu mkuu, watu wanaweza wasikuelewe kabisa
bro labda nmekosea nn hapo kuuliza?
 
Sasa mimi ningekusaidia sema sijawahi kupata mzunguko wa hedhi maana sio jinsia hiyo ila kama mlikubaliana kwanini usiulize au ndo wamekuman Fongo?
hawajanimanfongo wala nn kaka, iko hv ni wasichana wachache wanaotambua hilo,, nmeomba tu ufafanuzi njue
 
Huyo maana yake mzunguko ni wa siku30,iko hv,mwanamke yeyote anaemaliza M.P.aanze kuhesabu toka siku ya1 alipokoma kuona,then siku9 mbeleni,idadi iwe siku10,hizo siku ni safe kwa mwanamke baada ya hapo kuanzia ya 11 mpaka 20 ni siku hatari,embu jaribun mnaweza fanikiwa,msipo fanikiwa ahesabu siku 5 tena kabla ya M.P. anaweza beba,in any case mkamuone doctor
 
  • Thanks
Reactions: BAK
sasa kama jambo dogo hivi umeshindwa kulitafutia ufumbuzi mpaka umelileta huku jf,utaweza kweli kulea huyo mtoto unayetaka azaliwe?
 
Kwa kawaida mzunguko ni siku 28. Nusu ya 28 ni sawa na 14(Hapa ni katikati ya mzunguko. Baada ya yai kupasuka unona damu ya mp na wakati huo yai jingine linaanza mchakato wa kusogea na kufika katika mji ya mimba siku ya 14 na hukaa hapo kusubiiri mbegu dume kwa siku 14 zingine na likikosa hupasuka then mp ya mwezi mwingine. Sasa Anza kuhesabu kuanzia siku ya kwanza ya mp, hapa ataendelea mpaka damu ikate endelea kuhesabu mpaka siku ya 12 fanyeni mechi mpaka siku ya 16 hapa anaweweza kunasa kama mtafanya yenu katika siku hizi. Ila kwa mujibu wa sayansi ni kwamba siku ya 14 inamatokeo chanya zaidi na unaweza pata mtoto wa kiume. Kwahiyo siku za kupanda ni kati ya siku ya 12-16 kama afya zenu ziko sawiya. Kwakua siku ya 14 ndio katikati ya mzunguko hivyo siku mbili kabla na siku mbili baada hutumika ili kulenga mabadiliko yoyote ya kushitukiza(dharulaa) na ni vema siku hizo msizichezee kama lengo ni kuzaa, na hapo kisayansi unaweza pia kujaribu kupanga jinsia ila kiimani mi sijui......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa kawaida mzunguko ni siku 28. Nusu ya 28 ni sawa na 14(Hapa ni katikati ya mzunguko. Baada ya yai kupasuka unona damu ya mp na wakati huo yai jingine linaanza mchakato wa kusogea na kufika katika mji ya mimba siku ya 14 na hukaa hapo kusubiiri mbegu dume kwa siku 14 zingine na likikosa hupasuka then mp ya mwezi mwingine. Sasa Anza kuhesabu kuanzia siku ya kwanza ya mp, hapa ataendelea mpaka damu ikate endelea kuhesabu mpaka siku ya 12 fanyeni mechi mpaka siku ya 16 hapa anaweweza kunasa kama mtafanya yenu katika siku hizi. Ila kwa mujibu wa sayansi ni kwamba siku ya 14 inamatokeo chanya zaidi na unaweza pata mtoto wa kiume. Kwahiyo siku za kupanda ni kati ya siku ya 12-16 kama afya zenu ziko sawiya. Kwakua siku ya 14 ndio katikati ya mzunguko hivyo siku mbili kabla na siku mbili baada hutumika ili kulenga mabadiliko yoyote ya kushitukiza(dharulaa) na ni vema siku hizo msizichezee kama lengo ni kuzaa, na hapo kisayansi unaweza pia kujaribu kupanga jinsia ila kiimani mi sijui......
shukran sana ndg kwa maelezo yako mazuri nilihitaj kujua maana elimu hyo sikua nayo mm zangu ni mahesabu elim ya biologia ilinipita pemben
 
sasa kama jambo dogo hivi umeshindwa kulitafutia ufumbuzi mpaka umelileta huku jf,utaweza kweli kulea huyo mtoto unayetaka azaliwe?
nina iman fika kua hata ww sio kila jambo unalijua ndg angu, ni vema hata mm nmependa kujua ikoje wala kulea siwezi shindwa ila shukran kwa mawazo ako.
 
Kuoa ni sheria ila kuzaa ni majaaliwa....
Kwa ufaham wng cku za ujauzto ni kuanzia 10 had 18. ... ila uhakka zaid ni kuanzia 14 had 18... Na ili mkeo apate ujauzto ni lazima yafatayo yawepo.... 1.ujazo wa mbegu za kiume unatakiwa kuwa ml6.5(semen volume)
2.mbegu zinatakiwa kuwa na uwezo wa kukimbia
3.mbegu lazima ziwe na utelezi na sio maji
4.zinatakiwa kuzalishwa kwa kiwango kizuri
5.mbegu bora za mwanaume zinatakiwa kuwa na tindikali kati ya 7.5 hadi 7.8
Kuweza kushiriki tendo la ndoa zaidi ya mara 3 kwa siku sio kipimo cha wewe mwanaume kuwa huna tatizo la uzazi
Nenda na mkeo leo mkacheki afya ili kujua shida nn mpaka hampati mtoto
Maneno yangu sio sheria
 
Muda wa kuandika uzi ungekuwa umesearch google umepata jibu.

Mwenzako hayupo tayar kuzaa na wewe, angekuwa tayar angekuwa ameshajua haya mambo

Take your time tafiti upate information za kutosha, just google; trying to conceive
 
1470024885808.jpg

Nimeitoa mahali hiyo mkuu, kazi kwako.
 
Muda wa kuandika uzi ungekuwa umesearch google umepata jibu.

Mwenzako hayupo tayar kuzaa na wewe, angekuwa tayar angekuwa ameshajua haya mambo

Take your time tafiti upate information za kutosha, just google; trying to conceive
Mwambie tu agegede kila baada ya siku 2 mwez mzma lazma ampachike hii kuvizia siku ni bahati nasibu
 
Huyo mzunguko wake 30 days hivyo ushauri wangu kaka ni hivi hesabu siku ya kwanza anapoanza period na kwa kuwa anatumia siku saba period unatakiwa uhesabu siku 11 na siku ya 12 hadi 18 ni siku zuri za kumpa mimba. Ukizingatia hilo naamini hutaona shida tena but labda kama kuna matatizo mengine basi utajua baada ya hiyo practical
 
Back
Top Bottom