Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Huuu wimbo wa miaka mingi sana. miaka ile ya 90 ilikuwa maarufu sana
"Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......."
Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh kooh...
unaimbwa hivi
"..........kesha lakini kaburi lakungoja"
Natafuta Jina la Band/ Waimbaji na au jina la ile Album. miaka hiyo ya nyuma sana ilizungumzia pia kuhusu ngoma, ukimwi, umeme.
"Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......."
Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh kooh...
unaimbwa hivi
"..........kesha lakini kaburi lakungoja"
Natafuta Jina la Band/ Waimbaji na au jina la ile Album. miaka hiyo ya nyuma sana ilizungumzia pia kuhusu ngoma, ukimwi, umeme.