Nisaidieni ndugu zangu. Nahitaji Mganga wa kweli wa kienyeji amponye mama yangu.

ndugu mbona unahangaika yesu yupo kwa ajili yake nenda kanisani kwa waliokoka nashauri nenda kawe au efatha au mikicheni jini kiumbe kidgo sana mbele za yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…