WAHESHIMIWA WANA JF. WENGI WANASEMA WANASHIDWA KUANZISHA BIASHARA KWASABABU HAWANA MITAJI LAKINI MIMI NI KINYUME CHAKE NINA MTAJI WA Tsh 3,00,000/=, MIMI NI MWALIMU NAOMBA MSAADA WA MAWAZO YA BIASHARA AMBAYO NAWEZA KUIFANYA HIMO-MOSHI. BIASHARA IWE ILE AMBAYO ANGALAU KWA SIKU LAZIMA NIPATE WATEJA. ASANTE WADAU.
<br />Mkubwa fanya biashara ya vyakula, hii kila siku inakuingizia kipato
<br />Mkubwa fanya biashara ya vyakula, hii kila siku inakuingizia kipato
Tyson alikula akalala bungeniUza unga haukosi wateja.
nenda same ulime tangawizi acha na na ujinga wa kuuza maji ,pipi,unga its a risk hata wapuuz can take ,hii ndani ya mwaka umetusua
GHARAMA ZA UZALISHAJI NA MAPATO
GHARAMA YA HEKTA MOJA:
Mbegu Tshs. 240,000/-
Vibarua 250,000/-
Mbolea(mboji/samadi) 150,000/-
Jumla 640,000/-
MAPATO:
Kilo 20,000 X300 =6,000,000/-
WAZO LANGU.
1.M-PESA/TIGO- PESA
2.NERT WORK MARKETING
3.DUKA LA VINYWAJI LA JUMLA
4.DUKA LA JUMLA BIDHAA MCHANGANYIKO.
HAPO VIPI.:car:
<br />
<br />
unga upi?
<br />Mwalimu nakushauri ufuge kuku wa mayai, kwa kuwa utakuwa na muda wa kutosha kuwacheki asubuhi mchana na jioni.<br />
kama ujawahi fuga kabisa nenda kwa bwn mifugo anza na kuku 200 au chini ya hapo, utahitaji.<br />
banda, 200@3,000 600,000<br />
vifaranga 200@2500 = 500,000<br />
vifaa vinginenyo 120,000<br />
jumla 1,220,000<br />
baada ya miezi 4-5 wataanza kutaga mayai 180 kwa siku.<br />
Mauzo ya mayai tray 180 kwa mwezi @5000 900,000<br />
Chakula cha kuku bags13 ya kg50@33,000 525,000<br />
Madawa na mengineyo 50,000<br />
Faida kwa mwezi 325,000.<br />
then faida mpaka wamalize kutaga mayai 2,600,000 miezi 8 had 12 ivi.<br />
jaribu apo ticha, my queen does that. for any question you are welcome