Nisaidieni nimepata jeraha nusu saa imepita sasa

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,546
Habari za humu ndugu zangu,

Usiku wa leo nimepata jeraha baada ya kuchimwa na msumali mguu wa kushoto.

Msumali unakutu. Kitu cha kwanza nimefikiria kesho niende hospital kwa ajili ya sindano ya tetenus, lakini mwaka huu mwezi wa 7 nimechoma sindano ya tetenus mara mbili.

Je, kuna haja ya kuchoma sindano hiyo tena?

Asanteni.
 
Mlivosema kuhusu kuchomwa na msumari mguuni nmemkumbuka sana Yesu
 
Pole sana mkuu.

Mungu akuponye jeraha haraka
 
Mkuu ufike hospitalini kuliko kuendelea kusubiri majibu ya hapa. Unaweza kuchelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…