Nisaidieni, ninasumbuliwa na vidonda vya mdomoni

Nisaidieni, ninasumbuliwa na vidonda vya mdomoni

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,250
Habari Jamii Doctor,

Ninasumbuliwa na vidonda vya mdomoni vinakuwa kama viupele halafu baadaye huwa vinaongezeka na kuwa kidonda kikubwa kiasi na kichwa kuuma na tumbo halafu mate huwa machungu sana.Vilevile mkojo huwa wa njano sana.
 
Wahi hospital mara moja kwanza ukafanyiwe uchunguzi

Wakati unaenda hospital tumia dawa za kupunguza maumivu
 
Back
Top Bottom