Nisaidieni notes za business law

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Kama kichwa kinavyojieleza wakuu ambao mnazo naomben mnisaidie hizo note
 
Acha uvivu hilindo somo lenye material engi kupita maelezo google au pita mitaa ya pitsa kila kona vitabu vimejaa
 
Unajiendeleza kwani uko peke yako,? umeshindwa kuomba hata kwa madent wenzako? au kwenye hicho chuo unasoma peke yako?. changamsha ubongo mkuu otherwise utafeli
 
Nitafute 0762900530, ntakuuzia material yaliyokamilika ya business law.
 
Lete pesa.c unajua hakuna free lunch chini ya jua!
 
hivi na wewe uko chuo kikuu???

Nashangaa! Mwanafunzi wa chuo unasoma notes badala ya kudadavua vitabu mbalimbali? Ndo maana siku hizi hakuna tofauti kati ya mwanachuo na mwanafunzi wa sekondari katika kupambanua na kujenga hoja.
 
Nashangaa! Mwanafunzi wa chuo unasoma notes badala ya kudadavua vitabu mbalimbali? Ndo maana siku hizi hakuna tofauti kati ya mwanachuo na mwanafunzi wa sekondari katika kupambanua na kujenga hoja.

wee hata notes nimuhimu maana ndo zinakuelekeza upite wapi usome nini sasa ujing'ang'ania vitabu tu utajikuta uko out of topic
 
mkuu nakushauri siku hizi mambo yamebadilika kila kitu online kama una internet kwako vitu sasa hivi ni online tena kuna website moja hivi unalipia kwa mwezi kama 20000 notes zozote unazipata nakumbuka inaitwa my module.com kama sijakosea, vitabu ni mwendo wa google scholar hapo unajichumia tu, na kama unapesa ninaweza kukupa access ya account yangu kwenye eneo fulani ujipakulie kwa kutosha
 
Wewe nawe unaweza kuwa Mbulula tu, kila anayetaka notes za Business Law ina maana yupo chuo kikuu?

Hvi hlo ndo jibu la swali lake la nawe upo chuo kikuu?,ndo maana huwa mnafeli yan kujibu ndio au hapana ulishndaje?
 
Wewe nawe unaweza kuwa Mbulula tu, kila anayetaka notes za Business Law ina maana yupo chuo kikuu?

nadhani wewe ndio mbulula zaidi,hapo kaulizwa kama yupo chuo kikuu au laah,alitakiwa atoe jibu!
 
Hvi hlo ndo jibu la swali lake la nawe upo chuo kikuu?,ndo maana huwa mnafeli yan kujibu ndio au hapana ulishndaje?

Acha kutoa mapovu mkuu, uchuo kikuu unahusika nini? Mnaombwa notes na nyie mnaanza kuleta habari zenu.
 
Mijitu mingine, haijui hata business law ninini? Kuchangia pumba tu
 
Kuna kitabu kinaitwa Principles of Business and Procurement cha Urio. Kitakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…