Binafsi najitambua nina moyo mwepesi ambao hautaki kuishi kwa mashaka wala kash kash yoyote,
Isitoshe najiami na ninamwamini pia,ila kamwe hata kwa ushawishi wa aina gani,
Sitaki na siko tayari kupokea wala kushika simu yake na hata nikigundua nimekaa jiran nayo nitahama kochi,
Ananishirikisha kila kitu na wala sina mashaka yoyote naye na yuko huru hata kushinda kutwa nzima na simu yangu na kuishika wakati wowote atakao naye pia ameniruhusu kufanya ivo kwa simu yake ila SITAKI KBS japo hajui km sitaki.