nisaidieni plzzzzzz

Ahhhh sio zambi bana hv kwa nn watu wanakimbia makabila yao (kula ugali asubuhi sio kosa ni mila...lol na acheni kuegemea AR bana ww figa hiyo ni ya kingosha ngosha tuu). Anyway, angalau hapo chini hukunitukana maana umejua ww ni mtu wangu ...
Ila km huyo jamaa ndiyo analeta haya matatizo basi bora kujiweka sawa then kata funua maana life iz too short na ww bado mdogo sana kupata problems hizi..

Watch r food mama.... n be active, burn more calories...!!

mm sio msukuma na soma fresh iyo post we ****** nn???????
 
hapo cjakupa mwanangu loh! ina mana niwe asha ngedere kwa wanaoniuzi au ????????
 
Aminata!!pole sana dia!hali kama hiyo inawatokea watu mara nyingi sana!sijajua sana kitaalam inasababishwa na nini,but jaribu kufuata ushauri utakaopewa na daktari!pole sana!
asante mnooooo an stay blessed ma dia
 
thanx )))))))))))
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…