mm sio msukuma na soma fresh iyo post we ****** nn???????
hapo cjakupa mwanangu loh! ina mana niwe asha ngedere kwa wanaoniuzi au ????????Ahhhh sio zambi bana hv kwa nn watu wanakimbia makabila yao (kula ugali asubuhi sio kosa ni mila...lol na acheni kuegemea AR bana ww figa hiyo ni ya kingosha ngosha tuu). Anyway, angalau hapo chini hukunitukana maana umejua ww ni mtu wangu ...
Ila km huyo jamaa ndiyo analeta haya matatizo basi bora kujiweka sawa then kata funua maana life iz too short na ww bado mdogo sana kupata problems hizi..
Watch r food mama.... n be active, burn more calories...!!
thanx )))))))))))Kujihisi kuwa moyo unavuja damu unaposhituka ni jambo la kawaida. Usiogope na ninakuhakikishia kuwa huna maradhi yeyote bali una hali nafsia. Yaani upo concious of your health. You have phobia of becomming sick. Ushauri wangu ni tafuta passtime itakayo kutoa kutoka hali hiyo. Deppression zako zoooote zita vanish kama ukianza kuwa outdoors. Nenda beach na freinds wako. Sikiliza music na excessise. This is your only remedy. See me for further advise.