Nisaidieni tafadhali....

Nisaidieni tafadhali....

That Gentleman

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,215
Reaction score
3,678
Yapata wiki mbili sasa, kila nikitoka kuoga huwa mwili wote huwa unaniwasha...
msaada tafadhali
 
Jaribu kuoga maji kutoka chanzo kingine na hicho unachotumia sasa uone...nunua hata yale ya lita 5 uoge uone km tatizo litaendelea zaidi ya hapo nenda hsptl
 
Yapata wiki mbili sasa, kila nikitoka kuoga huwa mwili wote huwa unaniwasha...
msaada tafadhali
Kama unajisugua na dodoki acha paka tu sabuni Bila kujisugua jisugue tu na mikono hili tatizo lilimpata ndugu yangu alikunywa mpaka dawa tukabadilisha sabuni mpaka basi Kuna mtu akamshauri asijisugue na kitambaa au dodoki tatizo kwishiney
 
UNATUMIA SABUNI GANI NA MAJI YAPI YAKISIMA AU YA BOMBA? JE MAJI YA CHUMVI AU MATAMU? jibu hapo usaidiwe
 
Kama unajisugua na dodoki acha paka tu sabuni Bila kujisugua jisugue tu na mikono hili tatizo lilimpata ndugu yangu alikunywa mpaka dawa tukabadilisha sabuni mpaka basi Kuna mtu akamshauri asijisugue na kitambaa au dodoki tatizo kwishiney
okey, ngoja nifanye hivyo.
 
Jamani, nawashukuru kwa ushauri wenu. Nitayfanyia kazi kwa sababu hii hali nimeshindwa kabisa kuivumilia.
Mungu awabariki.
 
Back
Top Bottom