U ufumawicha JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 504 Reaction score 209 May 22, 2014 #1 Nimetumia dawa nyingi za hospitali sasa nimeamua kusalimu amri kwenu wanajf mniokoe kwani ni mwaka wa 3 sasa taifodi inanisumbua. Msaada wa mitishamba please.
Nimetumia dawa nyingi za hospitali sasa nimeamua kusalimu amri kwenu wanajf mniokoe kwani ni mwaka wa 3 sasa taifodi inanisumbua. Msaada wa mitishamba please.
A Albosignathus JF-Expert Member Joined Apr 26, 2013 Posts 4,886 Reaction score 1,038 May 23, 2014 #2 ufumawicha said: Nimetumia dawa nyingi za hospitali sasa nimeamua kusalimu amri kwenu wanajf mniokoe kwani ni mwaka wa 3 sasa taifodi inanisumbua. Msaada wa mitishamba please. Click to expand... Mkuu nenda pale kariakoo kwenye maduka ya dawa za kienyeji zinauzwa elf 500,chemsha maji ya kunywa au tumia filter kuchuja maji ya kunywa,usipende sana kula salad mbichi ya kabichi,osha matunda na maji yanayotiririka.
ufumawicha said: Nimetumia dawa nyingi za hospitali sasa nimeamua kusalimu amri kwenu wanajf mniokoe kwani ni mwaka wa 3 sasa taifodi inanisumbua. Msaada wa mitishamba please. Click to expand... Mkuu nenda pale kariakoo kwenye maduka ya dawa za kienyeji zinauzwa elf 500,chemsha maji ya kunywa au tumia filter kuchuja maji ya kunywa,usipende sana kula salad mbichi ya kabichi,osha matunda na maji yanayotiririka.