Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Za leo ndugu zangu.
Mwanangu alikuwa anasumbuliwa na jino ambalo ni gego, jino ili halimuumi mara kwa mara anaweza kukaa mwezi au miezi 2 halimuumi then linakuja kumuuma.
Cha kushangaza wiki iliyopita kama mungu nimemwambia fumbua mdomo niangalie jino nakuta kwa pembeni kwenye ufizi pamevimba sehemu ya jino linapo muuma ni gego la mwisho chini.
Nikamgusa akasema anaumia ila anakula mswaki anapiga bila shida nikampigia rafiki yangu ni nesi temeke nikamwambia akasema mnunulie Cloxaylline au Amoxylline ila nikampa iyo dawa ya kwanza pia akasema awe anapigia Sensodyne mswaki.
Niliambiwa itamsaidia iyo dawa ila toka nimempa sasa ni wiki na leo asubuhu nimejaribu kumuangali bado pamejaa nikajaribu kupagusa ameruka na usaha ukatoka tena.
Ijumaa anamaliza dawa nataka nimepeke Temeke Hosp kwa dokta jumamosi, Je, nani alishawahi patwa na tatizo ili dawa gani ilimsaidia.
Mwanangu alikuwa anasumbuliwa na jino ambalo ni gego, jino ili halimuumi mara kwa mara anaweza kukaa mwezi au miezi 2 halimuumi then linakuja kumuuma.
Cha kushangaza wiki iliyopita kama mungu nimemwambia fumbua mdomo niangalie jino nakuta kwa pembeni kwenye ufizi pamevimba sehemu ya jino linapo muuma ni gego la mwisho chini.
Nikamgusa akasema anaumia ila anakula mswaki anapiga bila shida nikampigia rafiki yangu ni nesi temeke nikamwambia akasema mnunulie Cloxaylline au Amoxylline ila nikampa iyo dawa ya kwanza pia akasema awe anapigia Sensodyne mswaki.
Niliambiwa itamsaidia iyo dawa ila toka nimempa sasa ni wiki na leo asubuhu nimejaribu kumuangali bado pamejaa nikajaribu kupagusa ameruka na usaha ukatoka tena.
Ijumaa anamaliza dawa nataka nimepeke Temeke Hosp kwa dokta jumamosi, Je, nani alishawahi patwa na tatizo ili dawa gani ilimsaidia.