Nisaidieni wana CIA huyu mwanafunzi namba yangu kaitoa wapi

Waalimu wa kisasa bhaana! Mnashangaza sana aisee!
Kitu kidogo kama hiki hadi ulete Thread kabisa!?

Kwani ulinunua simu ili namba yako uwe nayo mwenyewe?
Kwanza ujue yeye kuwa na namba yako siyo tatizo.

Ila wewe mwambie asitume message yoyote ya mapenzi. Au mbaya.
Ila jichunge usiingie tamaa ukajikuta Segerea.
 
Kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi

Hayo ndo marupurupu yako mkuu
 
Mkumbushe sheria za shule kuhusu mwanafunzi kumiliki simu,then block her....simply....
Kama ameshindwa ku mblock mpaka sasa analeta uzi humu..... Atawezenaa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naona kipochi manyoya kinakuja kinakataa [emoji1787][emoji1787]Teacher
 
Yan mwanaume nae Anauliza namba yangu umezitoa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda tupo tofauti
Khaaaaaaah jaman jf raha san lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anataka ushirikiano wako ktk masomo yake. Aaaaaah
 
Jibu la akili sana maana wakati mwingine watu wanaacha kusimamia maadili na kanuni na kuanza kujiuliza maswali kibao ya namba ameipata wapi
 
Halafu ukaja kutuuliza sisi kweli!!

Haya bwana, hakuna mzazi mwenye namba zako? Mara nyingi wanafunzi hupata namba zatu kwa wazazi wao. Lakini pia kama mmoja akishaipata ni rahisi kuwapa wenzie.

Mie huwa hata siwaulizi wameitoa wapi maana unakuta kanipigia au kanitext ana shida ya muhimu inayohitaji msaada wangu. Ila wale walokwisha hitimu kama sio shida basi hunipigia tu na kunisalimia na sijawahi kuona kama ni tatizo.
 
Mkuu mimi ni mashaka na wewe Kwanza cha kwanza Mzee wa kusawazisha ndo id yako basi kingine tushajua asili yako! Ila.mimi simo
 
Mkuu mimi ni mashaka na wewe Kwanza cha kwanza Mzee wa kusawazisha ndo id yako basi kingine tushajua asili yako! Ila.mimi simo
 
Nitumie namba yake inbox nitakuletea mrejesho namba yako kaitoa wapo.
Actually nlivomaliza udsm nlienda kufundisha tempo suule flan mbagala. Hivi vitu nlikutana navyosana na mpaka sasa mm watoto wa kike huwa wananhangaika na mm sana huwa wanakula mkia kama sina akili nzuri ili heshima iwepo.sema mm nafundisha chuo. Mm darasa langu nawapa namba mwenyewe coz lazima kila dsrasa waanzishe griup la whatasa ili niwe nao karibuninapomaliza mwaka najiondoa wanabaki wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…