Nisaidieni Wana JF-nataka kutoka

Hii kampun yako mbona yaonesha kama ipo hewani, mpaka umeanzisha na mawebsite tayari?

web site nimeanzisha kwa lengo la kuitangaza,lakini lengo langu sasa nikutaka kuisajili,ili niweze kufanya kazi kwa uwanja mpana zaidi

kwani nimepata nafasi ya kuwa agent wa kuuza solar equipments hapa Tanzania lakini wao wanacho hitaji ni certificate of incoperation ambayo ili niweze kupata hiyo ni lazima nisajili kampuni yangu

http://www.ihamsolar.com/
 
Nawashukuru wadau kwa michango yenu,na tayari kuna mdau amenirekebishia vitu furani na amenipa mwelekeo jinsi ya kufanya

kilichobaki sasa ni mimi kuelekea Brela tayari kwa usajiri,mambo yakiwa safi ama mabaya nitarudi kuwapa taarifa nini kilijili

niwatakie kazi njema na mafanikio mema

tuwe na imani hususani ktk kipindi hiki kigumu cha kukaa gizani

pamoja daima
 

mkuu mambo yakisha tulia tu kila kitu kitakuwa sawa ni swala la mda tu,tuzidi kuombeana ktk hili,nashukuru kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…