engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
- Thread starter
-
- #21
Hii kampun yako mbona yaonesha kama ipo hewani, mpaka umeanzisha na mawebsite tayari?
Mkuu wazo ni zuri; Lakini nilifikiri utasema unataka kuanzisha kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya solar, kumbe unaanzisha kampuni ya kusambaza vifaa. SWALI; Je utavitoa wapi?. Sasa umefika wakati wa kubadili mitazamo yetu badala ya kukimbilia kuwa WAHUUZI au WAMACHINGA ni vyema kufikiria kuzalisha bidhaa, hivi biashara za uchuuzi haziwezi kututoa kwa haraka. Hivyo basi mimi ningekushauri ufikirie mbali zaidi ya hapo.