Nisaidieni wanajamii

luckyperc

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
495
Reaction score
46
Naombeni mawazo ya kuandika barua ya kuahurisha mtihani wangu wachuo, coz nimepata msiba.
kama kuna mtu anayo aindike tu mimi nitabadilisha baadhi ya vitu.
wanajamvi nisaidieni.
 
kwa kiingereza au kiswahili?mmmh! Alaf upo chuo gani hicho mpaka unashindwa kuandika barua??! Hukusoma 'communication skills' ambayo kila 1st yr student ktk chuo chochote kile kinachotambulika ni lazma aisome?! Anyways,sbr kdg nikadese ntarudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…