Nisaidieni watanzania wenzangu

Nisaidieni watanzania wenzangu

NIMEKIMBIA CCM

Senior Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
193
Reaction score
26
Jamani ninachukua degree ya engineer bahati mbaya mwaka 2011/2012 nilikosa mkopo nilijitutumua mpaka nikasoma hivohivo(nina deni chuoni) lakini niliapply tena je utaratibu ukoje kwa sisi tunaoendelea na ,masomo vyuoni,,yaani kuhusu mikopo au ndo baso tena
natatanguliza shukurani zangu
 
Jamani ninachukua degree ya engineer bahati mbaya mwaka 2011/2012 nilikosa mkopo nilijitutumua mpaka nikasoma hivohivo(nina deni chuoni) lakini niliapply tena je utaratibu ukoje kwa sisi tunaoendelea na ,masomo vyuoni,,yaani kuhusu mikopo au ndo baso tena
natatanguliza shukurani zangu

wewe si ulisema unafanya Kazi HESLB itakuwaje leo uombe Mkopo..!?
 
Dean na Waziri wa Mikopo amekuambiaje?
Niliwahi kusikia, mtu kama wewe unapaswa kuandika barua HESLB ikieleza ulipata wapi fedha za kusoma mwaka wa kwanza, na kwanini ushindwe kuendelea kulipa.
 
Back
Top Bottom