NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Jamani ninachukua degree ya engineer bahati mbaya mwaka 2011/2012 nilikosa mkopo nilijitutumua mpaka nikasoma hivohivo(nina deni chuoni) lakini niliapply tena je utaratibu ukoje kwa sisi tunaoendelea na ,masomo vyuoni,,yaani kuhusu mikopo au ndo baso tena
natatanguliza shukurani zangu
natatanguliza shukurani zangu