Anaejua dawa ya tatzo hli,kukoma kwa hedhi. Dada yangu ana mwaka wa pili sasa haijui hedhi,ilikata tu yenyewe, hajazaa wala hajawah kutumia uzaz wa mpango.
Thx Globu, hsp amekwenda sana na kote alikokwenda aliambia ni homon hazijabalance hvyo atumie dawa za majira kwa miez mitatu na akafanya hvyo,ni kwel alvomaliza alipata siku zake mwez mmoja tu tangu hapo hakuna tena.