Wanajamvi,ikiwa sikufanya application ya TCU naweza kuomba direct kwenye vyuo? Majanga yaliniandama nikashindwa ku-apply kwa nafasi zote mbili zilizo tolewa lakini HESLB nimeomba. Naweza kusaidika kwahili?
Mbona tcu mda bado! Chakufanya kwa kuwa ww ni new applicant nunua voucher yao ya sh elf50 kutoka NBC then ingia www.tcu.go.tz---> CAS(CENTRAL ADMISSION SYSTEM) then apply bila matataa! Note;mwisho tar31 agust 2013
Mbona tcu mda bado! Chakufanya kwa kuwa ww ni new applicant nunua voucher yao ya sh elf50 kutoka NBC then ingia www.tcu.go.tz---> CAS(CENTRAL ADMISSION SYSTEM) then apply bila matataa! Note;mwisho tar31 agust 2013