kashaipiga hendelAkifanya mahojiano na Ayo TV, msanii wa kike aliepamba vichwa vya habari kwa kudai kuwa ana mimba ambayo ilitokana na kubakwa; amesema mimba hiyo ilikua ni 'igizo'.Anasema alikuwa anajaribu kuuvaa uhusika wa mabinti wanaobakwa na si kweli kwamba ana mimba.
Nanukuu''Mwenye mimba ni Nisha,na sio Salma'
Source: Millard Ayo
hapana mkuu kashaitoa si kwa ukunga ule aliolia instagramni kweli drama nyingi.....
kapoteza mvuto kenge wa blue nisha....hapana mkuu kashaitoa si kwa ukunga ule aliolia instagram
Siku hizi ni 2/2Nakubaliana na watafiti wa1:4 huyu naye yumo humu.
Kashalikurupua tayari kaona akizaa tena mtoto mwingine jau!Huyu dada sio mzima,kwahiyo ile pic ake na mtumbo nje ni photoshop au?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12]ZIKA ipo wakuu
Uhusika huwa hauvaliwi hivyo vema akarudi darasani kujifunzaAkifanya mahojiano na Ayo TV, msanii wa kike aliepamba vichwa vya habari kwa kudai kuwa ana mimba ambayo ilitokana na kubakwa; amesema mimba hiyo ilikua ni 'igizo'.Anasema alikuwa anajaribu kuuvaa uhusika wa mabinti wanaobakwa na si kweli kwamba ana mimba.
Nanukuu''Mwenye mimba ni Nisha,na sio Salma'
Source: Millard Ayo